Articles by "All"
Showing posts with label All. Show all posts
Atletico Madrid wakanusha Griezmann kuvunjika mguu

MADRID, HISPANIA UONGOZI wa klabu ya Atletico Madrid, wamekanusha taarifa kwamba mshambuliaji wao Nyota, Antoine Griezmann, kuwa amevun...

Rais wa China ampongeza Trump

BEIJING, CHINA SIKU mbili tu baada ya Rais mteule wa Marekani, Donald Trump, kukaririwa akisema amezungumza na sehemu kubwa ya viongozi...

Wahitimu elimu ya juu kuanza kubanwa

CHRISTINA GAULUHANGA Na MAULI MUYENJWA-DAR ES SALAAM SHERIA mpya ya kulipa mikopo kwa wahitimu wa elimu ya juu iliyopitishwa na Bunge h...

Msuva: Wanaonifananisha na Kichuya wanakosea

Na ZAINAB IDDY-DAR ES SALAAM WINGA machachari wa timu ya Yanga, Simon Msuva, amesema wale wote wanaomfananisha na mshambuliaji wa timu...

‘Ukatili wa  ngono bado tatizo nchini’

PATRICIA KIMELEMETA UKATILI wa ngono bado ni tatizo nchini ambako zaidi ya asilimia 80 ya wanawake wamefanyiwa katika   mwaka mmoja. Ak...

Sitta aponya majeraha bungeni

MSIBA wa aliyekuwa Spika wa Bunge la tisa, maheremu Samuel Sitta, umeacha historia ya aina yake  kati ya wabunge wa vyama vya upinzani...

Fomu za uongozi TOC leo

Na WINFRIDA NGONYANI-DAR ES SALAAM FOMU za kuwania nafasi mbalimbali za uongozi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), zinaanza kutolewa...

Ulawiti, ubakaji washika kasi Kilimanjaro

Na UPENDO MOSHA, MOSHI MATUKIO ya ulawiti na ubakaji kwa  watoto  mkoani Kilimanjaro, yametajwa kuongezeka kutokana na mmomonyoko wa ma...

Ujambazi wakutisha Dar

NI ujambazi wa kutisha. Ndivyo unavyoweza kusema kutokana na kuibuka na wizi unaofanywa na majambazi katika maeneo mbalimbali nchini. ...

Bibi wa miaka 70 achapwa viboko hadharani akidaiwa kuiba 100,000/-

Na RAPHAEL OKELLO, BUNDA MKAZI wa Kijiji cha Ligamba B wilayani Bunda mkoani Mara, Monica Fumbuka (70), ambaye ni mjane, amechapwa vib...

Utata mamilioni ya Lipumba

NI shida! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, ...

Ujenzi hospitali ya Muhas wakamilika

NA GABRIEL MUSHI, DAR ES SALAAM HATIMAYE ujenzi wa hospitali ya Chuo Kikuu cha Sayansi Muhimbili (Muhas) Kampasi ya Mloganzila, umemal...

Xavi: Guardiola atashinda kila kitu msimu huu

KIUNGO wa zamani wa timu ya Barcelona, Xavier Hernandez ‘Xavi’, amesema haoni sababu ya kocha wake wa zamani ambaye kwa sasa anafundisha...

Akaunti milioni 500 za Yahoo zaibiwa

Kampuni ya Yahoo imethibitisha kuwa akaunti milioni 500 za wateja wake zimeibiwa, jambo ambalo ni la uvunjifu wa sheria. Kampuni hiyo i...

‘Mitandao ya kijamii ikitumika vibaya ni sumu kwa wanafunzi’

MITANDAO ya kijamii ni mojawapo ya mawasiliano ambayo yamekuwa yakitumika kuwasaidia watu kujua habari mbalimbali. Mitandao hiyo imekuw...

IPTL yageuziwa kibao Escrow

KAMPUNI ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) imegeuziwa kibao katika suala la Escrow, imefahamika. Kampuni hiyo ...

Kwanini Kaseja, Banka ‘beach soccer’?

TANZANIA tumebarikiwa kuwa na vipaji vingi vya soka ambavyo vikitumika vizuri vinaweza kusaidia kuipeperusha vema bendera ya taifa letu...

Kiwango cha elimu chamshtua RC

KUTOKANA na kushuka kwa kiwango cha elimu mkoani Dodoma, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Jordan Rugimbana,  ametoa siku 14 za kukutana na wakuu ...