2016-09-04
Dk. Tulia awabana wabunge wa Ukawa

NAIBU Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, alimdhibiti Mbunge wa Tarime Mjini, Ester Matiko (Chadema), kwa kumtaka asisome maelezo yasiyohu...

Mourinho kumwalika Guardiola baada ya ‘Manchester Derby’

KOCHA wa timu ya Manchester United, Jose Mourinho, amesema ataendeleza utamaduni wa kupongezana  kwa kumwalika mpinzani wake, Kocha wa ...

Cecafa yatibua ratiba Ligi Kuu

ALAAM BARAZA la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), limethibitisha kuwa Kenya itakua mwenyeji ya michuano ya Kombe la C...

Ukweli kuhusu pikipiki ya maajabu Dar

UKWELI juu ya pikipiki iliyoko eneo la Veterinary, Temeke, inayodaiwa kuwa na maajabu umejulikana. Juzi katika mitandao mbalimbali ya k...

Vigogo sita Ukawa wakutana faragha

VIONGOZI wa juu wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), jana walikutana jijini Dar es Salaam na kufanya kikao kizito ch...

ACT – Wazalendo yatabiri uchumi kuporomoka

CHAMA cha ACT – Wazalendo kimesema katika kipindi cha miezi sita tangu Serikali ya awamu ya tano iingie madarakani, uchumi wa taifa umepo...

Usajili vyama vipya wasitishwa

MSAJILI wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi, amesitisha kwa muda usajili wa vyama vipya vya siasa. Akizungumza katika mahojiano ma...

catch justin bieber cover tupac live

BBC Radio 1 has become famous for its cover sessions but this latest one will probably go down as most memorable. Justin Bieber perfor...

Lady JayDee Ndio msanii bora kwa mwei huu

Judith Wambura Mbibo, known by her stage name Lady Jaydee, is a Tanzanian singer. She specializes in the R&B/Zouk/Kwaito genres....

Kesi ya kupinga ushindi wa Rais Lungu yatupwa

LUSAKA, ZAMBIA MAHAKAMA ya Katiba nchini Zambia imetupilia mbali kesi ya mgombea urais wa chama cha upinzani cha United Party for Natio...

 Terrell Owens To Dez Bryant Romo Might Be Done ... Get Chummy With Dak Prescott

Listen up,  Dez Bryant ... Terrell Owens -- the king of quarterback relationships -- has advice for you ... GET FRIENDLY WITH DAK PRESC...

Britney Spears wants the media to know ... she's going after you if you tell lies about her, and she's starting with "In To...

Spika Ndugai akata mzizi wa fitina

DODOMA SPIKA wa Bunge,  amekata mzizi wa fitina huku akikemea tabia ya baadhi ya wabunge kuwatukuza baadhi watu wengine na wao kuonekana...