2016-09-11
Walemavu Dar wafikisha kilio chao kwa meya

UMOJA wa Walemavu Waendesha Bajaji jijini la Dar es Salaam, wamemwomba Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita,  kuhakikisha wanapat...

Ibrahimovic amtaka Pogba kufanya kweli

KIUNGO mpya wa Manchester United, Paul Pogba, alikosolewa vikali na mashabiki wa timu hiyo baada ya kushindwa kung’ara katika mchezo wa ...

Maisha ya madereva 10 waliotekwa DRC hatarini

Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM SERIKALI imeingilia kati na kuanza mazungumzo ya kuwaokoa madereva 12 wa malori kutoka Tanzania wali...

Mshiriki mpya Maisha Plus ana aleji ya ugali

BAADA ya mshiriki kutoka Uganda, Kakunda kujiondoa katika shindano la Maisha Plus East Afrika 2016, mshiriki mpya kutoka Uganda, Ronald ...

Mwaka wa bye bye ukapera kwa mastaa Bongo

Na EDO BRIAN, MAISHA ya mastaa ulimwenguni mwote yamejaa anasa na starehe kwa sana. Mawazo ya kuoa au kuolewa hayapewi nafasi kubwa vi...

TRA yaelezea umuhimu wa TIN kwenye uchumi

NA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM KATIKA kuhakikisha kila mlipa kodi anatambulika, Tanzania ilianzisha utaratibu wa kuwatambua walipakodi w...

Micho: Nipo tayari kuifundisha Stars

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM KOCHA aliyeipeleka Uganda katika Fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) zitakazofanyika mwakani nchini ...

Mitambo ya kupima tetemeko yaibwa

Vituo 38 vyafungwa baada ya wafadhili kuondoka  * Wananchi Bukoba walilia misaada, tetemeko laendelea  kutikisa Na Veronica Romwald...