2015-03-15
Diamond platnumz achaguliwa kugombea tuzo nchini ghana

Chibu dangote ameteuliwa kuwania tuzo ya mwanamziki bora wa africa katika tuzo za huko ghana

Ajal ya gari la abiria yauwa tena

ABIRIA 13 wakiwemo watatu wa familia moja wamefariki dunia mkoani Singida leo, baada ya gari walilokuwa wakisafiria aina ya Noah T.730 BUK,...

Mabibo hostel hatarini kuteketea kwa moto

Habari zilizotujia hivi punde ni kua hostel ya mabibo block b hostel inayotunza wanafunz wa chuo kikuu cha dar es salaam. Ilikua hatarini ku...