Akizungumza na ITV mkoani Iringa bwana Athuman Kaita maarufu kama
dokta ngoma nzito amesema ni vema serikali ikafanya uchunguzi wa kutosha
na kuwashughulikia wahalifu hao kama wahalifu wengine kwani unyama huo
ni uhalifu kama ulivyo uhalifu mwingine.
Home
All
Mmoja wa waganga wa kienyeji mkoani Iringa atoa tamko kulaani unyama kwa walemavu wa ngozi Albino.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments so far,add yours