Kadhia hiyo imemkumba mkazi wa mabibo EXTERNAL Bwana.Saidi Juma
ambaye amefungiwa maji kitapeli kutoka mabibo na kijana alifahamika kwa
jina la Rajab Mrisho ambaye alimdanganya mzee huyo kuwa ni mfanyakazi wa
DAWSCO na kumuunganishia maji hayo kutoka kwenye bomba lingine la
mabibo kwa mkataba wa kulipa elfu hamsini kila mwezi.
Waunganishaji wa maji kwa kutumia ujanja ujanja wamekuwa
wakirudisha maendeleo nyuma na kuwatia hasara watu wanao waunganishia
huduma hiyo bila kibali maalumu ambapo inakuwa ni hatari na hivyo
kuchafua jina shirika la maji safi na maji taka DAWASCO nakuonekana kuwa
niwalaghai katika utoaji huduma kumbe sio sahihi.
0 comments so far,add yours