Afande Sele amesema kuwa, viongozi wa juu wa chama hicho wanatakiwa kuangalia wananchi wa chini kabisa wanaathirika vipi na suala hili na pia kutokuchukua maamuzi kwa kushirikishana watu wachache tu.
Vile vile Afande Sele pia ameonya viongozi hao wa juu kuhusiana na swala zima la uchu wa madaraka ili kukiimarisha chama zaidi.
Hata hivyo, licha ya maneno haya mazito, Afande Sele amesisitiza kuwa hawezi kukihama chama hicho kutokana na kuwa yeye ni muumini mkubwa wa sera zake
0 comments so far,add yours