Kufuatia tukio la watu wenye imani za kishirikina kumkata mkono mtoto mwenye ulemavu wa ngozi albino huko  mkoani Tabora mmoja wa waganga wa jadi hapa nchini Athuman Kaita ameiomba serikali kuwasaka na kuwakamata wahusika wote wa tukio hilo na kuwachukulia hatua kali za kisheria ili kukomesha unyama huo.
Akizungumza na ITV mkoani Iringa bwana Athuman Kaita maarufu kama dokta ngoma nzito amesema ni vema serikali ikafanya uchunguzi wa kutosha na kuwashughulikia wahalifu hao kama wahalifu wengine kwani unyama huo ni uhalifu kama ulivyo uhalifu mwingine.

Share To:
Magpress

MagPress

Vestibulum bibendum felis sit amet dolor auctor molestie. In dignissim eget nibh id dapibus. Fusce et suscipit orci. Aliquam sit amet urna lorem. Duis eu imperdiet nunc, non imperdiet libero.

0 comments so far,add yours