Articles by "Home"
Showing posts with label Home. Show all posts

Song: Mama Samia Artist: Nchakalirapper Studio: Non Stop Music Producer: GS  

BEIJING, CHINA SIKU mbili tu baada ya Rais mteule wa Marekani, Donald Trump, kukaririwa akisema amezungumza na sehemu kubwa ya viongozi...

CHRISTINA GAULUHANGA Na MAULI MUYENJWA-DAR ES SALAAM SHERIA mpya ya kulipa mikopo kwa wahitimu wa elimu ya juu iliyopitishwa na Bunge h...

PATRICIA KIMELEMETA UKATILI wa ngono bado ni tatizo nchini ambako zaidi ya asilimia 80 ya wanawake wamefanyiwa katika   mwaka mmoja. Ak...

Na UPENDO MOSHA, MOSHI MATUKIO ya ulawiti na ubakaji kwa  watoto  mkoani Kilimanjaro, yametajwa kuongezeka kutokana na mmomonyoko wa ma...

NI ujambazi wa kutisha. Ndivyo unavyoweza kusema kutokana na kuibuka na wizi unaofanywa na majambazi katika maeneo mbalimbali nchini. ...

Na RAPHAEL OKELLO, BUNDA MKAZI wa Kijiji cha Ligamba B wilayani Bunda mkoani Mara, Monica Fumbuka (70), ambaye ni mjane, amechapwa vib...

NI shida! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, ...

UMOJA wa Walemavu Waendesha Bajaji jijini la Dar es Salaam, wamemwomba Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita,  kuhakikisha wanapat...

Vituo 38 vyafungwa baada ya wafadhili kuondoka  * Wananchi Bukoba walilia misaada, tetemeko laendelea  kutikisa Na Veronica Romwald...

UKWELI juu ya pikipiki iliyoko eneo la Veterinary, Temeke, inayodaiwa kuwa na maajabu umejulikana. Juzi katika mitandao mbalimbali ya k...

VIONGOZI wa juu wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), jana walikutana jijini Dar es Salaam na kufanya kikao kizito ch...

MSAJILI wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi, amesitisha kwa muda usajili wa vyama vipya vya siasa. Akizungumza katika mahojiano ma...

RAIS Dk. John Magufuli ameshtukia mchezo unaofanywa na baadhi ya watu wakiwamo viongozi, kuficha mabilioni ya fedha ndani na kutangaza u...