HATIMAYE Gazeti la MTANZANIA, ambalo lilikuwa limefungiwa na Serikali kwa siku 90, kesho litaanza kuonekana mitaani, baada ya kumaliza adhabu hiyo. Gazeti hilo, ambalo linamilikiwa na Kampuni ya New Habari (2006) Limited, inayochapisha magazeti ya Rai, The African, Bingwa na Dimba, linarudi mitaani likiwa na sura mpya.
Share To:
Magpress

MagPress

Vestibulum bibendum felis sit amet dolor auctor molestie. In dignissim eget nibh id dapibus. Fusce et suscipit orci. Aliquam sit amet urna lorem. Duis eu imperdiet nunc, non imperdiet libero.

0 comments so far,add yours