Milard Ayo wa katikati
Jana April 7 2013 Katika viwanja vya Leaders kwenye kumbukumbu ya mareheu Steven Kanumba
Mtangazaji wa Clouds Fm Millard Ayo alipewa tuo na familia ya
Marehemu Kanumba kwakuutambua mchango wake. Milard Ayo ni Mtangazaji anaejituma na mwenye sifa zote anastahili zaidi ya aliyopewa kwa kutoa taarifa sahihi akiwa anajituma..toa wazo lako...
Share To:
Magpress

MagPress

Vestibulum bibendum felis sit amet dolor auctor molestie. In dignissim eget nibh id dapibus. Fusce et suscipit orci. Aliquam sit amet urna lorem. Duis eu imperdiet nunc, non imperdiet libero.

0 comments so far,add yours