Taifa la Marekani ni moja ya nchi zinazokumbwa na kiasi kikubwa cha baridi duniani.

Maeneo mengi Mashariki mwa marekani yamefukiwa na theluji kufuatia kuanguka kwa kiwango kikubwa zaidi cha theluji kuwahi kushuhudiwa.

Zaidi ya watu milioni 80 katika majimbo 18 wameathirika na theluji hiyo, pia usafiri wa reli,Barabara za magari na ndege umesimamishwa katika maeneo yote yaliyoathirika na zaidi ya watu 200,000 wamekumbwa na tatizo la kukatika kwa umeme.

Maeneo mengine ya jiji la New York ambapo viwanja vyake vingi vimefungwa ukubwa wa theluji inafikia urefu wa mita moja.

Share To:
Magpress

MagPress

Vestibulum bibendum felis sit amet dolor auctor molestie. In dignissim eget nibh id dapibus. Fusce et suscipit orci. Aliquam sit amet urna lorem. Duis eu imperdiet nunc, non imperdiet libero.

0 comments so far,add yours