Yanga imeyaaga mashindano ya SportPesa Super Cup kufuatia kufungwa kwa mikwaju ya penati 4-2 na AFC Leopards ya Kenya kwenye mchezo wa nusu fainali.
Mikwaju ya penati ililazimika kutumika kumpata mshindi atakaefuzu kucheza fainali baada ya dakika 90 kumalizika huku timu hizo zikiwa zimetoka suluhu.
Share To:
Magpress

MagPress

Vestibulum bibendum felis sit amet dolor auctor molestie. In dignissim eget nibh id dapibus. Fusce et suscipit orci. Aliquam sit amet urna lorem. Duis eu imperdiet nunc, non imperdiet libero.

0 comments so far,add yours